Monday, July 13, 2015

Anonymous

MAPACHA WA SHIJA WAIBUKA!!

Mapacha wa waliopata umaarufu kupitia kwa mwigizaji, Deogratius Shija, Christina Mroni na Regina Mroni wakiwa kwenye pozi.
Vunja ukimya! Baada ya kupotea kwa muda mrefu kwenye sanaa ya filamu Bongo, mapacha wa waliopata umaarufu kupitia kwa mwigizaji, Deogratius Shija, Christina Mroni na Regina Mroni, wameibuka na kueleza sababu iliyowapoteza kuwa walikuwa wanalea. 

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, mmoja wa mapacha hao, Christina alisema kwa muda mrefu walikuwa kwenye malezi ya watoto wao kwani kila mmoja alifanikiwa kupata mtoto wa kiume waliopishana miezi miwili kwa sasa wamekua ndiyo maana wamerudi rasmi kwenye sanaa na wamekuja na zawadi ya filamu kwa mashabiki wao inayokwenda kwa jina la Dada.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.