Friday, July 3, 2015

Anonymous

PICHAZ: VIATU VIREFU VYAMPONZA MARIAH CARREY APIGA MWELEKA WA HAJA WAKATI AKIJIBEBISHA NA BILIONEA WAKE!

Mariah Carey amepiga mweleka wa nguvu baada ya kuponzwa na viatu virefu alipokuwa matembezini na mpenzi wake bilionea mmiliki wa Cassino. Mwimbaji huyo mwenye umri wa miaka 45 kwa sasa na mama wa watoto wawili aliozaa na msanii Nick Canon na kuachana, wamekuwa wakidhurura pamoja na kujibebisha kwa mapenzi yao mapya na bilionea huyo!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.