Brighton Masalu
KUNENEPEANA!
Kuvimbiana na kuongezeka kwa ukubwa wa tumbo kunazidi kumpa wakati mgumu
msanii ‘anayechungulia’ katika gemu la uigizaji, Ester Kiama kufuatia
kusongwa na madai kuwa ‘amebugia kijusi’ (mjamzito) huku Kulwa Kikumba
‘Dude’ akidaiwa kuwa baba kijacho.
“Watu wengi wanasema nina mimba. Wengine wanakwenda mbele zaidi wakinipongeza kwa kumbebea mimba Dude. Yaani napata wakati mgumu,” alisema Ester.

Note: Only a member of this blog may post a comment.