Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akitunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria (Doctor of Laws
honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle Bwana Paul Jeans
Chuoni hapo nchini Australia jana tarehe 29.7.2015 katika ukumbi wa chuo
hicho.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akishukuru baada ya kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria
(Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle
Bwana Paul Jeans chuoni hapo nchini Australia. 
Sehemu ya umati wa wanachuo na wageni waalikwaa waliohudhuria sherehe za Rais Jakaya Mrisho Kikwete kutunukiwa shahada hiyo. 
Sehemu ya Watanzania waishio nchini Australia wakipiga makofi wakati Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitutunukiwa shahada hiyo. 
Rais Kikwete akimpongeza Bi.
Bernadette Mathias ambaye kwa kushirikiana na mpiga piano mumewe Profesa
Philip Mathias walitumbuiza kwa wimbo wa "Tanzania, Tanzania nakupenda
kwa moyo wote" kwa ufasaha na kusisimua waliohudhuria sherehe hizo. 
Rais Kikwete na msafara wa
wanachuo wakiondoka jukwaa kuu huku wakishangiliwa na waliohudhuria
ikiwa ni pamoja na Mama Salma Kikwete na mwana wao Ali Kikwete na ujumbe
wa Rais Kikwete kwenye msafarahuo. 
Mama Salma Kikwete akimpongeza
mume wake Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kutunukiwa shahada ya heshima
ya udaktari wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo
Kikuu cha Newcastle.
Rais Kikwete katika picha ya
pamoja na Uongozi wa Chuo Kikuu cha Newcastle na mkewe Mama Salma
kikwete na mwana wao Ali Kikwete baada ya kutunukiwa shahada. 
Rais Kikwete katika picha ya
pamoja na Ujumbe alioongozana nao mkewe Mama Salma kikwete na mwana wao
Ali Kikwete baada ya kutunukiwa shahada. 
Rais Kikwete katika picha ya
pamoja mkewe Mama Salma kikwete, mwana wao Ali Kikwete na Watanzania
waishio Australia baada ya kutunukiwa shahada. 
Rais Kikwete akipongezwa na raia wa Burundi waishio Australia baada ya kutunukiwa shahada.

Note: Only a member of this blog may post a comment.