Monday, June 1, 2015

Anonymous

UTATA: Binti Huyu Adai Ana Ujauzito wa Nuh Mziwanda wa SHILOLE KIUNO!

Soudy Brown ni yeye na mtaa, story na fununu za ishu za mastaa hazimpiti yani.. leo yuko nah ii ishu inayomhusu Nuh Mziwanda na Shilole. 

Soudy kakutana na msichana ambaye amedai kuwa aliwahi kuwa na uhusiano na msanii wa Nuh Mziwanda na ana ujauzito wake!
Msichana huyo amesema siku chache zilizopita walipanga wakutane na Nuh ili amwambie kuhusu ujauzito huo, muda mfupi baadae akatokea Shilole akamfanyia fujo na kumpiga msichana huyo baada ya kumkuta akiwa na Nuh. 

Msichana huyo amesema japo hajamwambia Nuh kuhusu ujauzito huo, hayuko tayari kuutoa ujauzito huo.
U Heard iko hapa kwenye sauti hii, utamsikia Soudy Brown akiwa anaongea na huyo msichana

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.