California, Marekani
KAPO inayokuja juu kwa sasa ya Kylie Jenner, 17, na Tygal, 25, wikiendi iliyopita walinaswa wakiwa kwenye duka la vito chanzo cha habari kilidai walikwenda kununua pete ya uchumba, wakali hao walinaswa huko Beverly Hills, Calfornia nchini Marekani.
KAPO inayokuja juu kwa sasa ya Kylie Jenner, 17, na Tygal, 25, wikiendi iliyopita walinaswa wakiwa kwenye duka la vito chanzo cha habari kilidai walikwenda kununua pete ya uchumba, wakali hao walinaswa huko Beverly Hills, Calfornia nchini Marekani.
Licha ya kusemwa sana kuwa anatoka na mtoto mdogo, msanii huyo Hip
hop, Tyga ameripotiwa kujiandaa kumfanyia bonge la sapraizi Kylie,
Agosti 18, mwaka huu kwani mrembo huyo atakuwa ametimiza miaka 18.
Chanzo kilisema Kylie anatamani kuchumbiwa na anapenda kuona anavalishwa
pete.

Note: Only a member of this blog may post a comment.