Sunday, May 31, 2015

Anonymous

PICHAZ: FRANCIS CHEKA NOMA! AMPIGA MTHAILAND KWA TKO, AMTOA DAMU PUANI!


Cheka akimtifua Mthailand.
Pambano likiendelea.
Singwacha akiandaliwa na msaidizi wake dakika chache kabla ya pambano kuanza.
Sehemu ya mashuhuda wachache waliohudhuria pambano hilo.
Vidamu vikimchirizika Mthailand wa watu baada ya kuchezea ‘kabasero’.
BONDIA Francis Cheka jana aliendeleza ubabe kwa kumchapa bondia Kiatchai Singwancha kutoka Thailand katika pambano lililofanyika Ukumbi wa PTA uliopo Viwanja vya maonesho vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Pambano hilo Cheka alilimaliza katika raundi ya nane baada ya kumteua bega mpinzani wake.
(PICHA: RICHARD BUKOS / GPL)

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.