Monday, April 6, 2015

Anonymous

VIDEO: Ulimiss kuona jinsi Diamond alivyopokewa Kistaa Rwanda? pembeni alikua na nani?

Mwimbaji staa kutokea Tanzania Diamond Platnumz alipata mwaliko kwenda kufanya show Kigali ambako alifanya show mbili, moja ilikua ni ndogo ambayo ndio hii utaiona kwenye hii video hapa chini, nyingine kubwa aliyoifanya kesho yake utaiona siku chache zijazo pia on AyoTV.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.