Sunday, April 19, 2015

Anonymous

PICHAZ: Tazama Zitto Kawe, ACT-Wazalendo Walivyoliteka Jiji la Mwanza Kila Kona


Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo akiwahutubia mamia ya Wananchi Mkoani Mwanza katika viwanja vya furahisha.

Mwenyekiti wa Taifa ACT wazalendo Anna Mghwira akiwa wanahutubia mamia waliojitokeza kwenye viwanja vya furahisha jijini mwanza.



USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.