Mshambuliaji
wa Yanga, Simon Msuva akiwatoka Mabeki wa Timu ya Mbeya City wakati wa
mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa
hivi sasa.Yanga imeishia Bao 3 - 1.
Kiungo
Mchezeshaji wa timu ya Yanga, Haroun Niyonzima akiangalia kwa kupeleka
mpira wakati wa mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa leo kwenye
Uwanja wa Taifa hivi sasa.Yanga imeishia Bao 3 - 1.
Kipa wa Mbeya City, Hanington Kalyesubula akiangalia mpira wavuni huku washabiki wa Yanga wakishangilia ushindi wao.
Wachezaji wa timu ya Yanga wakisangilia ushindi ushindi na washabiki wao.
Picha na Othman Michuzi.

Note: Only a member of this blog may post a comment.