Wengi watakubaliana na mimi kuwa nyumba ndio kitu cha kwanza ambacho kinapwaswa kupewa kipaumbele katika kumfanya kila mmoja kuwa huru na maisha yake ya kila siku.
Hapa kuna hizi nyumba za mastaa 1o wa soka Ulaya:-

Moja ya nyumba ya mchezaji bora wa dunia, Cristiano Ronaldo. Iko Hispania

Nyumba ya Lionel Messi imejengwa kwa aina ya kipekee, ikiitazama kwa juu ina uwanja wa kuchezea, ni moja ya nyumba za kifahari zilizopo kwenye mji wa Barcelona

Nyumba ya sstriker wa Barcelona, Mbrazil Neymar ipo Hispania

Hii ni nyumba ya Mshambuliaji wa PSG ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic, ipo katika mji wa Malmo, Sweden.

Nyumba ya staa wa 1, Wayne Rooney ipo katika visiwa vya Barbados.

Nyumba ya Ricardo Kaka ipo Spain

Nyumba ya Samuel Eto’o ipo London, Uingereza

Nyumba ya Raul Gonzalez straiker wa Real Madrid, ipo katika mji wa Madrid, Hispania

Mjengo wa kifahari wa Ronaldinho ipo Spain

Nyumba ya kifahari ya Frank Lampard ipo London, Uingereza
Hapa kuna hizi nyumba za mastaa 1o wa soka Ulaya:-
Moja ya nyumba ya mchezaji bora wa dunia, Cristiano Ronaldo. Iko Hispania
Nyumba ya Lionel Messi imejengwa kwa aina ya kipekee, ikiitazama kwa juu ina uwanja wa kuchezea, ni moja ya nyumba za kifahari zilizopo kwenye mji wa Barcelona
Nyumba ya sstriker wa Barcelona, Mbrazil Neymar ipo Hispania
Hii ni nyumba ya Mshambuliaji wa PSG ya Ufaransa Zlatan Ibrahimovic, ipo katika mji wa Malmo, Sweden.
Nyumba ya staa wa 1, Wayne Rooney ipo katika visiwa vya Barbados.
Nyumba ya Ricardo Kaka ipo Spain
Nyumba ya Samuel Eto’o ipo London, Uingereza
Nyumba ya Raul Gonzalez straiker wa Real Madrid, ipo katika mji wa Madrid, Hispania
Mjengo wa kifahari wa Ronaldinho ipo Spain
Nyumba ya kifahari ya Frank Lampard ipo London, Uingereza

Note: Only a member of this blog may post a comment.