Sunday, April 19, 2015

Anonymous

DUNIA IMEKWISHA: DANGURO LA BIASHARA YA NGONO IKIWEMO JINSIA MOJA LAANZISHWA JIJINI DAR!


Mwanamke mmoja mkazi wa Mabibo mwisho, Jijini Dar es slaam anadaiwa kuanzisha danguro la wasichana na kuendesha biashara ya ngono ikiwamo ya jinsia moja. 
Mwanamke huyo anayefahamika kwa jina la mama Uzuri, anadaiwa kuwachukua wasichana hao kutoka vijijini kwa kuwadanganya kuwa anakwenda kuwatafutia kazi mjini.

Inadaiwa kuwa fedha anazopata kutokana na biashara hiyo huzitumia kama gharama ya kuwatunza wasichana hao. 

Wasichana hao kwa nyakati tofauti walidai mwanamke huyo aliwachukua kijijini kwa lengo la akuwatafutia ajira za ndani na wamesema wanaume wengi wamekuwa wakiwalazimisha kufanya mepenzi bila kinga kwa madai kunawanyima starehe.

Walisema mwanzo walipoanza biashara hiyo walipata ugumu lakinikadri siku zilizvyokuwa zinakwenda waliizoea. 

Gharama za biashara hiyo zinatofautiana  kutokana na kiwango cha mteja lakini kwa wale wanaofanyiwa tendo kinyume na maumbile wateja hutozwa 20,000 na kawaida 5,000 hadi 10,000 kwa mara moja.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.