Mwanamke mmoja mkazi wa Mabibo mwisho,
Jijini Dar es slaam anadaiwa kuanzisha danguro la wasichana na kuendesha
biashara ya ngono ikiwamo ya jinsia moja.
Mwanamke huyo anayefahamika kwa jina la mama Uzuri, anadaiwa kuwachukua wasichana hao kutoka vijijini kwa kuwadanganya kuwa anakwenda kuwatafutia kazi mjini.
Inadaiwa kuwa fedha anazopata kutokana na biashara hiyo huzitumia kama gharama ya kuwatunza wasichana hao.
Wasichana hao kwa nyakati tofauti
walidai mwanamke huyo aliwachukua kijijini kwa lengo la akuwatafutia
ajira za ndani na wamesema wanaume wengi wamekuwa wakiwalazimisha
kufanya mepenzi bila kinga kwa madai kunawanyima starehe.
Walisema mwanzo walipoanza biashara hiyo walipata ugumu lakinikadri siku zilizvyokuwa zinakwenda waliizoea.
Gharama za biashara hiyo zinatofautiana
kutokana na kiwango cha mteja lakini kwa wale wanaofanyiwa tendo
kinyume na maumbile wateja hutozwa 20,000 na kawaida 5,000 hadi 10,000
kwa mara moja.


Note: Only a member of this blog may post a comment.