Kulikuwa na sintofahamu kuhusu uwezo wa bondia maarufu duniani Manny Pacquiao, zikawepo tetesi pia kwamba Pac anatumia dawa za kuongeza nguvu, wakati huo dunia nzima iko attention kuisubiri May 2 2015 Pac na Floyd Mayweather watakapokuwa wakipambana.
Pac ameamua
kukata mzizi wa fitima kwa kuamua kufanya vipimo vya damu yake ili
kudhibitisha kama kuna ukweli wowote kwenye tetesi za bondia huyo
kutumia dawa hizo.
Wakati Pac akifanyiwa vipimo hivyo alikuwa akioneshwa live na Televisheni ya Ufilipino huku akiwa hana hofu yoyote.
Pambano hilo
la kimataifa linasubiriwa na watu wengi duniani kote huku mabondia wote
kila mmoja akiwa katika maandalizi ya nguvu kumkabili mwenzake.
-via millardayo

Note: Only a member of this blog may post a comment.