Licha ya kuwa Kajala bado yupo kwenye ndoa na mumewe anaesota gerezani, inadaiwa kwasasa anajipooza machungu na kushea mashuka ya hoteli na mzazi mwenzie P Funk. kwa mijibu wa gazeti hilo marafiki wa karibu wa Kajala waliliambia kuwa mara kadhaa Kajala amekuwa akitoka na P Funk kwa kificho, kwa kile kilichodaiwa anamwogopa mwandani wa sasa wa Majani.
Gazeti hilo liliendelea kueleza kuwa Kajala kwa sasa yupo dabo kwenye mahusiano na CK , bwana wa zamani wa Wema ambaye kwa sasa hali yake ya kiuchumi haina tofauti na Mr Nice.
Inadaiwa kuwa kinachosababisha ukaribu kati ya Kajala na P Funk ni mtoto wao Paula ambae kwasasa wanashirikiana vya kutosha kumlea.
Si Kajala wa P Funk aliyethibitisha habari hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.