Anasema eti sebule ya Linah inaongoza kwa vitu feki, sebule ya Dogo Aslay inaongoza kuwa na joto kuliko sebule zote..
Baba Levo anasema sebule ya Madee iko kama gereji, spea tyre iko juu ya meza.. Jamaa anasema eti sebule ya Barnaba inaongoza kwa kochi zilizochakaa..
Hizi fix zimesikika AMPLIFAYANI, kama ulipitwa nimekuwekea hapa yote, bonyeza play na ukiisikiliza unaweza kuniandikia comment yako sebule ipi wewe imekufurahisha zaidi.
Hizi fix zimesikika AMPLIFAYANI, kama ulipitwa nimekuwekea hapa yote, bonyeza play na ukiisikiliza unaweza kuniandikia comment yako sebule ipi wewe imekufurahisha zaidi.
-via millardayo

Note: Only a member of this blog may post a comment.