Monday, March 30, 2015

Anonymous

BAADA YA PICHA ZA WEMA SEPETU NA IDRIS WA BBA KUWA GUMZO, WEMA SEPETU AFUNGUKA KIHIVI!

Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Mshindi wa Big Brother Africa 2015, Idris Suleiman
PROJECT? Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Mshindi wa Big Brother Africa 2015, Idris Suleiman wamezua gumzo hivyo mwanadada huyo kufunguka na kuweka mambo hadharani.
Wema Sepetu na Idris Suleiman
Wikiendi iliyopita, picha zao wakifanya shopping kwenye supermarket moja iliyopo Makumbusho jijini Dar zilizua mtafaruku kwa mashabiki wao ndipo staa huyo wa kike akafunguka.
“Shopping pamoja na Idris. Najisikia vizuri kuwa na huyu mtu,” aliandika Wema akifafanua picha hizo huku ‘kapo’ yao ikipongezwa na wengi.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.