Wednesday, March 11, 2015

Anonymous

PICHAZ: WEMA SEPETU, HEMED PHD ‘MAPENZI YAMEROGWA’ NI SHIDAAA NYINGINE MJINI!

Waigizaji Wema, Hemed, Neema na wengine wakiwa katika harakati za kurekodi filamu hiyo.
MWIGIZAJI Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na mtanashati wa Bongo Movies, Hemed Suleiman ‘PhD’ wamekutana katika kushuti muvi moja inayokwenda kwa jina la ‘MAPENZI YAMEROGWA’, kazi ambayo inaendelea kwa umakini katika maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. 

Kwa mujibu wa Wema, filamu hiyo ambayo pamoja na waigizaji wengine, imemshirikisha pia mwigizaji maarufu, Neema,  itaonyesha ni jinsi gani mapenzi yanavyowachanganya wahusika.
(HABARI/PICHA: IMELDA MTEMA/GPL)

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.