Monday, February 9, 2015

Anonymous

WAFUASI WA SHEIKH PONDA WASWALI BARABARANI WAKATI KESI IKIENDELEA MKOANI MORO

Wafuasi wa Sheikh Ponda wakiswali sala ya saa 7 leo mchana kwenye barabara iliyo nje ya Mahakama ya Hakimu Mfawidhi wa Mkoa wa Morogoro.

Wafuasi hao waliamua kuswali katika eneo hilo wakati wakisubiri kesi ya kiongozi wao huyo ambayo ilikuwa ikiendelea katika mahakama hiyo.
Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro wakati Sheikh Ponda anakamatwa, Faustine Shilogile leo alifika kutoa ushahidi wake katika mahakama hiyo.
PICHAZ LIVE: WEMA SEPETU AKIFANYA YAKE NA MUME WA ZARI WA ZAMANI HUKO SOUTH AFRICA! 
===>>JIONEE HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU TENA!
(PICHA NA DUNSTAN SHEKIDELE / GPL)

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.