Monday, February 9, 2015

Anonymous

PICHAZ: HIVI NDIVYO IVORY COAST WALIVYOCHUKUA UBINGWA WA AFRIKA!

Mabingwa wapya wa Kombe la Mataifa Afrika 2015, Ivory Coast wakipozi na kombe leo.
Straika wa Manchester City, Wilfried Bony akiwa amembeba shujaa wa Ivory Coast Boubacar Barry (katikati), aliyefunga penalti ya mwisho.
Nahodha wa Ivory Coast, Yaya Toure akifurahia ubingwa.
Patashika wakati wa fainali ya leo.
TIMU ya Ivory Coast imetwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa Afrika 2015 baada ya ushindi wa penalti 9-8 dhidi ya Ghana baada ya kutoka suluhu katika dakika 120 za mchezo.
Fainali hiyo imepigwa huko Bata nchini Equitorial Guinea usiku huu. 

VIKOSI:
Ghana (4-3-3): Razak; Boye, Rahman, Mensah, Afful; Mubarak, Acquah, Ayew; Atsu (Acheampong, 115), Gyan (Agyemang-Badu, 120) Appiah (Ayew, 98) 
Wachezaji waliokuwa benchi na hawakutumika: Sowah, Gyimah, Awal, Rabiu, Asante, Otoo, Amartey, Accam, Dauda 

Ivory Coast (4-4-2): Barry; Bailly, Aurier, Kanon, Toure; Tiene (Kalou, 114), Die, Toure, Gradel (Doumbia, 66); Bony, Gervinho (Tallo, 120)
Wachezaji waliokuwa benchi na hawakutumika: Mande, Viera, Roger, Doukoure, Akpa Akpro, Diomande, Traore
INAUMA SANA: WASTARA AWACHARUKIA WANAOMTUSI MUMEWE! 
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU TENA!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.