Godoro la Nyota wa filamu na muziki nchini, Isabela Mpanda likiwa limeteketea kwa moto.
Stori: Waandishi wetu/Risasi Mchanganyiko NYOTA wa filamu na muziki nchini, Isabela Mpanda ambaye ni maarufu kama Bela, hivi karibuni alijikuta katika majonzi baada ya kijana wake wa kiume kuwasha moto na kuunguza godoro na ukuta wa sehemu ya nyumba aliyopanga.
Ukuta wa nyumba aliyopanga Isabela Mpanda ukiwa umeungua kwa moto.
“Yaani sijui mtoto huyu kwa nini ananirudisha nyuma kwa sasa nina
hali ngumu hivi afu ananiunguzia godoro, nitatoa wapi hela ya kununua
lingine kwa sasa?” alisikika akilalamika msanii huyo na kuongeza kuwa
licha ya kulazimika kununua godoro lingine, pia atatakiwa kutengeneza
sehemu ya ukuta ulioungua.
PATA HABARI HARAKA ZITUFIKIAPO.
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.
KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.
ASANTE NA KARIBU TENA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.