Monday, February 9, 2015

Anonymous

IVORY COAST MABINGWA AFCON 2015

Timu ya taifa ya Ivory Coast imefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya kombe la mataifa ya Afrika baada ya kuifunga Ghana kwa mikwaju ya penati . 

Timu hizo mbili zilimaliza muda wa kawaida wa dakika 90 zikiwa hazijafungana hali iliyolazimu kuongezwa kwa dakika 30 za nyongeza. 

Dakika hizo ziliisha kwa timu hizo kushindwa kufungana hali iliyolazimu mikwaju ya penati kupigwa ili kumpata Bingwa.
Ivory Coast ilifanikiwa kushinda baada ya kufunga penati 9-8 .
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU TENA!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.