Friday, February 13, 2015

Anonymous

BOKO HARAM WAVAMIA NCHI YA CHAD! WAUA, WACHOMA VIJIJI NA KUIBA MALI!

Wanajeshi wa Chad nchini Nigeria  
Kundi la jihad lililoko Nigeria, Boko Haram, kwa mara ya kwanza limeshambulia Chad.

Wakuu nchini humo wanasema kuwa, wapiganaji wa Boko Haram walivuka ziwa Chad kwa maboti usiku na kushambulia kijiji cha Ngouboua, kilichoko kandokando ya ziwa hilo.
Liliwauwa watu, kuchoma moto vijiji vyao na kuiba mali. Wapiganaji wa kundi la boko haram walishambulia taifa la Chad.
Boko Haram!
Chifu wa eneo hilo ni miongoni mwa waliouawa.
Majeshi ya Chad yanasemekana kuwarudisha nyuma wapiganaji hao ambao wanadhibiti eneo kubwa la ziwa hilo upande wa Nigeria.

Majeshi ya Chad yamekuwa yakikabiliana na Boko Haram nchini Nigeria taifa hilo ni la nne kushambuliwa na wapiganaji hao wa kiislamu.
PICHAZ: LIPUMBA AWASIHI JUVICUF WASIANDAMANE, WAKUBALIANA NAYE!
===>>SHUHUDIA HAPA!
JIUNGE NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142. 
ASANTE NA KARIBU TENA!

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.