Bobby Brown akipozi na binti yake Bobbi Kristina.
HALI ya binti wa Whitney Houston, Bobbi Kristina imeendelea kuwa mbaya mpaka madaktari kumshauri baba yake Bobby Brown wamuondolee mashine inayomsaidia kupumua.
Hisia za Bobby zimetofautiana na madaktari walioshauri mashine hizo ziondolewe maana Bobbi hapati nafuu tangu alipohamishiwa kwenye hospitali ya Chuo Kikuu cha Emory majuzi Jumanne.
Bobbi Kristina alikutwa akiwa amepoteza fahamu Jumamosi iliyopita ya Januari 31, mwaka huu baada ya kukutwa kwenye jacuzzi akiwa hajitambui na mpaka sasa bado hajapata fahamu.
MBINU ZA KIJANJA ZAIDI KUPATA FOLLOWERS WENGI INSTAGRAM
===>>SOMA ZAIDI HAPA!
JIUNGE
NASI FACEBOOK > >>BONYEZA HAPA.KAMA KUNA TATIZO AU
UNA PICHA ZA MATUKIO TUTUMIE WHATSAPP +255 712 919 142.ASANTE NA KARIBU
TENA!
===>>SOMA ZAIDI HAPA!


Note: Only a member of this blog may post a comment.