Thursday, December 22, 2016

Unknown

Man City yatenga pauni milioni 50 kumnasa beki huyu!

Kikosi cha Manchester City ina mpango wa kumwaga pauni milioni 50 kumnasa beki wa kati wa Southampton.
Beki Virgil van Dijk ndiye anayeitoa jasho Man City ambayo chini ya Kocha Pep Guardiola inaona safe yake ya ulinzi haijatulia zaidi.

Van Dijk, 25, amekuwa beki gumzo tokea kuanza kwa Ligi Kuu England msimu huh na amekuwa akionekana kufuatiliwa na timu kadhaa lakini Man City wamekuwa wa kwanza.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.