
Tanzania imepanda kwa nafasi nne katika viwango vya FIFA na sasa itakuwa nafasi ya 156 kutoka nafasi ya 160 iliyokuwa mwezi uliyopita, good news hiyo inakuja baada ya Tanzania kushuka mara mbili mfululilizo.
Mara ya mwisho Tanzania ilikuwa nafasi ya 144 na ilishuka kwa nafasi 16 na kushika nafasi ya 160 mwezi uliyopita.

Mara ya mwisho Tanzania ilikuwa nafasi ya 144 na ilishuka kwa nafasi 16 na kushika nafasi ya 160 mwezi uliyopita.
Note: Only a member of this blog may post a comment.