Aliyewahi kuwa meya wa Dar es Salaam na mbunge wa Afrika Mashariki, Dr Didas Massaburi amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya taifa Muhimbili mahali alikokuwa akipata matibabu yake.
Kaa karibu na kandiliyetu.co.tz tunaendelea kufuatilia chanzo cha mauti yake pamoja na ratiba za mazishi.
Kaa karibu na kandiliyetu.co.tz tunaendelea kufuatilia chanzo cha mauti yake pamoja na ratiba za mazishi.
Note: Only a member of this blog may post a comment.