Wednesday, September 28, 2016

Unknown

DIAMOND Afichua Vile Mwanaume Unatakiwa Kufanya Kitandani Ukipata Mwanamke Kama ZARI

Mwanamuziki na nguli wa muziki wa Bongo flava nchini Tanzania, Nassib Abdul aka Diamond Platnumz ambaye anaiwakilisha nchi hii vizuri nje ya mipaka ya Tanzania kupitia muziki wake. 

Diamond ametoa kauli mpya ya kudhihirisha ni nini kingine ambacho anakiwakilisha nje ya nchi kama Mtanzania.
Diamond Platnumz ambaye kwa sasa anajivunia kuwa kwenye penzi na mjasiriamali kutoka nchini Uganda, Zari, na wanatarajia kupata mtoto wa pili.

Amesema kuwa, kuwa na Zari ambaye sio Mtanzania nilazima kitandani afanye show nzuri kwakuwa anaamini anaiwakilisha nchi kwa hilo.
Ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Instagram
Ukipata Mchumba wa nchi nyingine inabidi kitandani ujitahidi kufanya show Nzuri….Maana unaliwakilisha Taifa #SjuiNiongezeWaTatuAkitokaHuyuTu
Umeisoma kauli hiyo ya Diamond Platnumz

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.