Kituo hicho hicho ni mwendelezo wa wasanii kuibuka stejini na watoto wao, ambapo mwaka 2012, mwanamuziki Lauryn Hill wa Marekani, ambaye amewahi kutoa moja ya albam zenye kupendwa zaidi duniani, alipoibuka na watoto wake stejini.
Tiwa akiwa na mwananye.
Tiwa ambaye alitamba stejini na mwanaye huyo, alimfanya shabiki mmoja
kuandika kwenye mtandao: “Safi sana…… Lakini, anti Tiwa, kwa nini
ulimficha sana mwanao uso wake kwa muda mrefu wakati ulijua kabisa
mwishoni utamwonyesha? Karibu Naija (Nigeria), hata hivyo, hatuwalipi
mastaa kutokana na sura za watoto wao. Ni picha nzuri”.

Note: Only a member of this blog may post a comment.