Tuesday, April 12, 2016

Anonymous

Mama Kanumba Akanusha Taarifa Kuwa Huwa Anatokewa na Marehemu Kanumba Ndotoni Usiku

Mama Kanumba Amekanusha Uvumi ulionea kwenye mitandao hasa Instagram kuwa huwa anatokewa na Marehemu Kanumba ndotoni...
Mama Kanumba Amesema Haya:
"Mimi sijawahi mwambia mtu kuhusu kumuota Kanumba na wala sijawahi muota wala kunitokea ndotoni, Mimi ni mkristo na nina Amini mtoto wangu alifariki na kristo hivyo hayo mambo mimi sijajui na napenda kusema kuwa sijawahi tokewa na Kanumba huo ni uzushi tu"

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.