Je, Kuna Umuhimu wa Kuwa na Mbio za Mwenge Kwa Sasa?
Ndugu wadau, Naomba kwa kina tujaribu kuliangalia suala la Mwenge kuendelea kuzunguuka nchi nzima huku zikitumika mamilioni ya fedha. Je faida ya Mwenge kwa sasa ni nini? Vinginevyo ni vema fedha zinazotumika zikaelekezwa kwenye shughuli za kijamii kama kununua madawati madawa kujenga vyoo n.k.
USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK
TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)
Note: Only a member of this blog may post a comment.