Vanessa Mdee na Idris sultan wameongezeka kwenye orodha ya mastaa wachache Afrika ambao akaunti zao za mtandao wa kijamii wa Instagram zimekuwa ‘Verified’
vee11
“We live in a world of blue ticks and purple hearts 💜 #Niroge” Vanessa Ameandika kwenye Instagram yake. Akaunti zao zimekuwa verified na kuwekewa kitiki cha blue kuonesha kuwa ni akaunti halali.
iddy
“This is to all my beautiful fans...... #WataelewaTu#MeAmBiziii #HollywoodISeeYou#HuuMchezoHautakiHasira” Idris ameandika kwenye Instagram yake. Vee na Idris wameungana na Flaviana Matata na Diamond Platnumz kwenye orodha ya mastaa wachache ambao akaunti zao za Instagram zimukuwa Verfied.
vee11
“We live in a world of blue ticks and purple hearts 💜 #Niroge” Vanessa Ameandika kwenye Instagram yake. Akaunti zao zimekuwa verified na kuwekewa kitiki cha blue kuonesha kuwa ni akaunti halali.
iddy
“This is to all my beautiful fans...... #WataelewaTu#MeAmBiziii #HollywoodISeeYou#HuuMchezoHautakiHasira” Idris ameandika kwenye Instagram yake. Vee na Idris wameungana na Flaviana Matata na Diamond Platnumz kwenye orodha ya mastaa wachache ambao akaunti zao za Instagram zimukuwa Verfied.


Note: Only a member of this blog may post a comment.