Saturday, March 12, 2016

Anonymous

Nikki Mbishi Amchana Dogo Young Dee Kiana Kuhusu Matumizi ya Madawa ya Kulevya!

Katika pitapita zangu Insta leo, nimekutana na picha ya Nikki mbishi aliyopost leo akiwa na Becka Title wanakula ugali. Caption ya picha hiyo inasema hivi "Huwezi kuwa mjanja ikiwa unapotea kwa madawa ya kulevya, halafu ndugu zako na washkaji zako wa karibu wanakuchana unawaona masnitch. Oya baba Marietha @beckatitle_tz tule ugali kuku bila kusahau maji mengi. Acha wazee wa #UjanjaUjanja wapotee.
Hii inaashiria kuwa tayari Beckatitle ashammwagia Nikki Mbishi ubuyu kuhusu Young Dee(Mzee Wa UjanjaUjanja) kuhusu kupotea kwake na madawa. Its the high time dogo abadilike awachane na madawa.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.