Kandili Yetu [KY] Ni Blog Inayoongoza Kwa Kukupatia Habari Pendwa Za Mastaa 'UDAKU' wa Bongo Na Ngambo, Matukio, Ya Kitaifa, Kimataifa Siasa, Michezo Na Burudani!
Sunday, March 13, 2016
Anonymous
Kasi ya MAGUFULI Yamkuna Rais wa Rwanda Paul KAGAME... Aamua Kumuiga Kwa Kufanya Hili Kwa Viongozi wa Umma
Rais wa Rwanda, Paul Kagame amesema kuwa atapunguza safari za nje za watumishi wa umma. Apongeza hatua anazochukua Rais Magufuli. Ameyasema hayo Jana wakati wa akiwahutubia viongozi mbalimbali wa Serikali yake.
Note: Only a member of this blog may post a comment.