Mwimbaji wa Juma Jux Amefunguka kuhusu aliyekuwa mpenzi wake mrembo Jack Cliff kujihusisha na madawa ya kulevya mpaka akajikuta anakamatwa huko Macau China, Jux Amesema kipindi chote alichokuwa naye hakuwahi kujua wala kuhisi kuwa mpenzi wake huyo anabeba madawa ya kulevya...
“Lakini huwezi amini sikuwahi kutambua kama Jackie Cliff anafanya mambo hayo mpaka alipopata matatizo hayo ndiyo najua mimi, hivyo ilinipa wakati mgumu sana mimi kiasi kwamba nilikuwa sijielewi,” aliongeza.
“Lakini huwezi amini sikuwahi kutambua kama Jackie Cliff anafanya mambo hayo mpaka alipopata matatizo hayo ndiyo najua mimi, hivyo ilinipa wakati mgumu sana mimi kiasi kwamba nilikuwa sijielewi,” aliongeza.


Note: Only a member of this blog may post a comment.