Saturday, March 12, 2016

Anonymous

Hutaamini Mtoto wa Michael Jackson, Paris Alivyokuwa Mkubwa [+PICHAZ]

Watoto wa kike wanakua haraka, ndiyo maana, Paris, mtoto wa Michael Jackson unaweza kumsahau.
paris
Paris (katikati) akiwa na washkaji
Paris mwenye miaka 17 sasa, anatarajia kufikisha miaka 18, April 3.
3211BC4B00000578-3486564-image-a-132_1457648789901
Paris ni mtoto pekee wa hayati Michael Jackson, na ana kaka yake mkubwa mwenye miaka 19, Prince Michael na mdogo wake mwenye miaka 14, Blanket (ambaye jina lake pia ni Prince Michael).
3211BC9F00000578-3486564-image-m-127_1457648460564
3211BA0900000578-3486564-image-m-130_1457648639280

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.