Saturday, March 12, 2016

Anonymous

Breaking News: Zanzibar Hali Tete ...Nyumba Zachomwa Moto

#‎Habari‬: Nyumba nane zachomwa moto Pemba. Inasemekana moja kati ya nyumba hizo ni ofisi ya CCM na kituo cha afya. Taarifa zaidi zitawajia hivi punde!
 
CHANZO: ITV

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.