Monday, March 14, 2016

Anonymous

Bethdei ya Baraka Da Prince Yafana Maisha Basement Club

IMG_0347 IMG_0343Msanii wa muziki wa bongo fleva Mirror akifanya yake ndani ya Maisha Basement usiku wa kuamka leo.
IMG_0379
Msanii wa muziki wa bongo fleva, Baraka Da Prince na Mirror wakiimba wimbo wao mpya wa ‘Naogopa’.
IMG_0361
Mashabiki wakiendelea kupata burudani ndani ya Maisha Basement.
IMG_0387
IMG_0397
Mwana – FA akiongea jambo na mashabiki.IMG_0380
Msanii wa bongo Fleva, Mo music akiimba wimbo wake wa Skendo.
IMG_0407
Msanii wa bongo Fleva, Ali Kiba akiwasalimia mashabiki.
IMG_0400
Barnaba Boy akifanya yake na mashabiki wake.
WIKI iliyopita mastaa kibao wa Muziki wa Bongo Fleva walihudhuria katika sherehe ya kuzaliwa kwa msanii Baraka Da Prince na Mwana-FA iliyofanyika katika Ukumbi wa Maisha Basement ulipo Kijitonyama jijini Dar.
Sherehe hiyo ilipambwa na burudani kutoka kwa msanii Mirror, Mo Music, Ali Kiba, T.I.D, Ommy Dimpoz, Barnaba Boy na wengine kibao sambamba na burudani ya nguvu kutoka kwa DJ Ommy Craizy, Ally B na Tass.
Na Gabriel Ng’osha

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.