February 28 klabu ya Simba ilicheza hatua ya 16 bora ya michuano ya Kombe la FA dhidi ya klabu ya Singida United, Simba ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 5-1, magoli ya Simba yalifungwa na Danny Lyanga, Hamisi Kiiza na Awadh Juma wakifunga magoli mawili kila mmoja la Singida United lilifungwa na Paul Mlamala.
Tazama video hiyo hapa chini

Note: Only a member of this blog may post a comment.