Sunday, February 14, 2016

Anonymous

NIVA wa Bongo Muvi Amfungukia NAY wa Mitego Baada ya Kuchanwa Kwenye ‘Shika Adabu Yako’

Baada ya msanii Nay wa Mitego Kumchana Niva Kwenye ‘Shika Adabu Yako’ kupitia mtandao wa instagram Niva amefunguka haya;
Alianza kuwa kuandika haya;
“Jioni ya Leo ndio watu watajua. Kama natafuta Kiki kwako au wewe @naytrueboy umeamua kuipata Kiki kwangu coz ney watu wameanza kukujua 2013… mimi watu wameanza kunijua tangia elfu mbili na sita kupitia tamthili ya jumba la dhahabu kipindi hiko wewe upo manzese unatafuta kutoka.. mwenzio nikitajaga tamthili ya jumba la dhahabu uwa nawaumizaga watu wengi Sana coz uwa nawakumbusha kumbukumbu za maisha Yao ya kipindi icho wengine wenzao wamesha wazika walio kua wakiangalia nao. Sasa wewe @naytrueboy unakipi cha kuwakumbusha mashabiki zako.”

Kisha akaweka picha akweka picha hiyo hapo juu akiwa na Nay na kuandika; 
“Sasa mkitazama iyo picha mtangundua ni wiki ngapi zimepita na hapo mulizeni alikua wapi na kwanani na alifata nini Tena alikua anajipima mwili wake na wangu… niliwai kusema kuwa ni mdogo wangu kwaiyo kwangu yameisha nanimemsamee coz ni mdogo wangu ila kuusu kumuigiza na yeye kupo pale pale nimesha maliza kutoka moyoni”

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.