Friday, February 26, 2016

Anonymous

Dakika Mbili za Majibu ya Jerry MURO Kwa Wanaosema Amewatukana SIMBA SC

Baada ya mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Simba Haji Manara kumtuhumu afisa habari wa Yanga kuwatukana Simba na viongozi wake, Amplifaya ya Clouds FM ilimtafuta afisa habari wa Yanga Jerry Muro ili aweke sawa habari hizo kwa upande wake? 

“Kama kuna mtu anaona kauli  zangu hazijamtendea haki, mimi nimshauri tu kuna vyombo husika, wapo watu wa Media Council of Tanzania na TCRA, wao wanahusika na masuala ya maudhui, kwa kawaida tu hakuna chombo cha habari kinaweza rusha matusi hewani, sasa kama wewe unaona Jerry akiongea kitu kina kukera basi sio lazima unisikilize, zima redio au tv kwani lazima unisikiliza? ” >>> Jerry Muro
Unaweza cheki video ya majibu ya Jerry Muro hapa mtu wangu

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.