Thursday, November 5, 2015

Anonymous

MAHAKAMA KUU YAHALALISHA BANGI ITUMIKE KWA WATU WANNE TU NCHINI MEXICO

Supreme Court Justices discuss a challenge to the constitutionality of a ban on recreational marijuana use in Mexico City, Wednesday, Nov. 4, 2015. Mexico's court ruled Wednesday that growing, possessing and smoking marijuana for recreation are legal under a person's right to personal freedoms. (AP Photo/Eduardo Verdugo)
Mahakama Kuu nchini Mexico.A supporter of the legalization of marijuana wears a Lucha Libre wrestling mask decorated with a marijuana leaf, as he celebrates outside the Supreme Court in Mexico City, Wednesday, Nov. 4, 2015. Mexico's court ruled Wednesday that growing, possessing and smoking marijuana for recreation are legal under a person's right to personal freedoms. (AP Photo/Eduardo Verdugo)
Mwanaharakati anayeunga mkono matumizi ya bangi nchini Mexico, Lucha Libre aliyevaa Maski, akishangilia mara baada ya Mahakama Kuu nchini humo kuruhusu matumizi ya bangi.
bangi mexico (3)
Mmoja wa wavuta bangi raia wa Mexico akivuta msokoto wa bangi nje ya jengo la Mahakama Kuu ya nchi hiyo jana.
bangi mexico (2)
Mmoja wa wanaharakati na watumiaji wa zao la mmea wa bangi.bangi mexico (1)
Mmea wa zao la bangi.A supporter of the legalization of marijuana smokes outside the Supreme Court in Mexico City, Wednesday, Nov. 4, 2015. Mexico's court ruled Wednesday that growing, possessing and smoking marijuana for recreation are legal under a person's right to personal freedoms. (AP Photo/Eduardo Verdugo)A supporter of marijuana legalization holds a cigarette outside the Supreme Court in Mexico City, Wednesday, Nov. 4, 2015. Mexico's court ruled Wednesday that growing, possessing and smoking marijuana for recreation are legal under a person's right to personal freedoms. (AP Photo/Eduardo Verdugo)
Watumiaji wa bangi nchini Mexico.
Mahakama Kuu nchini Mexico imehalalisha zao la bangi litumike kwa kundia la watu wane tu ambao ni wanaharakati nchini humo. Watu hao wane wameruhusiwa kupanda na kusambaza bangi kwa matumizi yao wenyewe.
Hata hivyo sheria hiyo imetoa rukhsa kwa watu hao wane pekee ambao ndiyo walikwenda mahakamani hapo kuomba waruhusiwe kupanda na kutumia bangi.

Wachambuzi wa mambo wanadai kuwa sheria hiyo huenda ikafungua milango itakayoruhusu na kuhalalishwa matumizi ya bangi kwa jamii yote nchini humo siku zijazo.
Rais wa Mexico Enrique Pena Nieto amesema kuwa sharia hiyo hiyo inazua mjadala kuhusu njia za kudhibiti matumizi ma usambazaji wa madawa ya kulevya.
Wanaharakati wanasema kuwa kushindwa kwa Mexico kuhalalisha matumizi ya bangi ndiko kulikowawezesha walanguzi wa mihadarati kukolea katika biashara hiyo na kujivunia mabilioni ya fedha.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.