Mh. Rais Magufuli,wanafunzi wa vyuo vikuu wana imani kubwa nawe na Serikali utakayoiunda. Wanakusubiri uwasaidie kutatua matatizo yao ya mikopo kama ulivyoahidi ulipokuwa ukipiga kampeni zako. Hakika,wanafunzi wa vyuo vikuu,hasa wale wa mwaka wa kwanza,wanahitaji suluhisho la mikopo yao ya elimu ya juu haraka iwezekanavyo.
Friday, November 6, 2015
Rais John MAGUFULI, Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Wanakusubiri Uwasaidie Kwa Hili!
Mh. Rais Magufuli,wanafunzi wa vyuo vikuu wana imani kubwa nawe na Serikali utakayoiunda. Wanakusubiri uwasaidie kutatua matatizo yao ya mikopo kama ulivyoahidi ulipokuwa ukipiga kampeni zako. Hakika,wanafunzi wa vyuo vikuu,hasa wale wa mwaka wa kwanza,wanahitaji suluhisho la mikopo yao ya elimu ya juu haraka iwezekanavyo.


Note: Only a member of this blog may post a comment.