#Habari: Watoto 2 wamefariki dunia na watu wengine 26 wamejeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Batco lililokuwa linatoka Sirari mkoani Mara kwenda Mwanza kuacha njia na kupinduka katika eneo la Fiba. Kamanda wa polisi mkoani Mara Kamishana Msaidizi wa Polisi Philip Kalangi amethitisha kutokea kwa ajali hiyo.


Note: Only a member of this blog may post a comment.