Kulikuwa na ripoti mfululizo kuhusu ishu ya migomo ya Walimu Kenya wakidai nyongeza ya mishahara… hiyo ni moja ya stori ambayo imeripotiwa sana wiki chache zilizopita.
Moja wa mabango yaliyobebwa ba Walimu wakiwa kwenye mgomo Kenya.
Chama cha Walimu Kenya kimeifikisha taarifa kwenye Vyombo vya Habari kwamba walimu wanne ambao ni wanachama wa chama hicho, KNUT wamejiua kwa kujinyonga wakidai madai yao ya kulipwa mshahara wao wa mwezi September kipindi ambacho Walimu hao walikuwa wamegoma.
Note: Only a member of this blog may post a comment.