Kandili kazi yetu ni kumulika na kukujulisha kinachoendelea hapa Tanzania hasa wakati huu wa kampeni za uchaguzi.
Leo mheshimiwa Lowassa alikosea kidogo na kujikuta akiwanadi wagombea ubunge na udiwani wa CCM.
"Nawaomba Jumapili mnipe kura kwa wingi, ila msisahau kuwachagua madiwani na wabunge wa CCM ili tuiondoe CCM madarakani"...Lowassa
Aliyasema hayo akiwa katika viwanja vya Shule ya Jangwani - Ifakara mkoani Morogoro.
Tazama video hapo chini
Leo mheshimiwa Lowassa alikosea kidogo na kujikuta akiwanadi wagombea ubunge na udiwani wa CCM.
"Nawaomba Jumapili mnipe kura kwa wingi, ila msisahau kuwachagua madiwani na wabunge wa CCM ili tuiondoe CCM madarakani"...Lowassa
Aliyasema hayo akiwa katika viwanja vya Shule ya Jangwani - Ifakara mkoani Morogoro.
Tazama video hapo chini


Note: Only a member of this blog may post a comment.