Taarifa ya awali ya uzushi iliyosambaa Mtandaoni lakini sio hapa kandiliyetu.com ilikua hivi:
Wakuu kwa habari za hivi punde kutoka Hanang ni kuwa Dr Mary Nagu
amekamatwa na maboksi kumi ya kura yakiwa yashapigiwa kura tayari huko
Hanang. Sasa hivi amekamatwa yupo Polisi,taarifa zaidi zinakuja.
TAARIFA SAHIHI HII HAPA:
TAARIFA SAHIHI HII HAPA:
JF imemtafuta RPC wa Mkoa wa Manyara, Christropher Fuime
na kufahamishwa kuwa taarifa hizi ni za uongo na zenye malengo ya
kisiasa.
Masanduku yote ya kupigia kura yapo mikononi mwa mamlaka husika na hakuna mtu yeyote aliyekamatwa na sanduku la kura wala wao kama Polisi hawana taarifa toka jimbo lolote mkoani humo kuhusiana na hili.
Note: Epuka Kusambaza Taarifa zisozokuwa na uhakika wakati huu wa Uchaguzi Mkuu...
Masanduku yote ya kupigia kura yapo mikononi mwa mamlaka husika na hakuna mtu yeyote aliyekamatwa na sanduku la kura wala wao kama Polisi hawana taarifa toka jimbo lolote mkoani humo kuhusiana na hili.
Note: Epuka Kusambaza Taarifa zisozokuwa na uhakika wakati huu wa Uchaguzi Mkuu...


Note: Only a member of this blog may post a comment.