Sunday, October 25, 2015

Anonymous

VIDEO: Edward LOWASSA Akitoa Mtazamo Wake Mara Baada ya Kupiga Kura Leo

Mgombea urais kupitia Chadema Edward Lowassa atoa mtazamo wake mara baada ya kupiga kura....Hapa chini nimekuwekea videos tatu tofauti za Lowassa akihojiwa, tazama Video hizo hapo chini


Lowassa amesema hatokubaliana na matokeo kama uchaguzi hautokuwa wa haki.
Mh Lowassa pia ameelezea hali itakavyokuwa baada ya matokeo kuwekwa wazi kufuatia zoezi hilo kumalizika.

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.