Sunday, October 25, 2015

Anonymous

PICHAZ: Shuhudia LOWASSA na Mkewe Mama Regina Wakipiga Kura, Monduli....Kasema Anategemea Kushinda na Hatakubali Matokeo Kama Yatahujumiwa!


Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Edward Lowassa amepiga kura, Monduli

Lowassa alipata nafasi ya kujibu maswali kadhaa ya waandishi ambao walitaka kujua kama atakuwa tayari kutakubali matokeo iwapo atashindwa.

Katika majibu yake, Lowassa amesema atakubali matokeo kama hayatachakachuliwa, vinginevyo hatakubali.
Waandishi pia walitaka maoni ya Lowassa kuhusu hukumu ya mahakama kukataza watu kukaa mita 200 baada ya kupiga kura.
Katika majibu yake, Lowassa amesema hali aliyoiona kituoni ni ya amani na utulivu hivyo hana maoni ya ziada kuhusu hukumu ya kukaa mita 200

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.