Sunday, October 25, 2015

Anonymous

BREAKING NEWS: Mgombea wa Urais wa TLP, Maximillian Lyimo Ashindwa Kupiga Kura!


Mgombea wa urais wa TLP, Maximillian Lyimo ameshindwa kupiga kura yake leo Kituo cha Njia Panda.


NEW UPDATES:
#‎kyUpdates‬ Mgombea Urais wa TLP Macmillan Lyimo ameshindwa kupiga kura kwa kukosekana kwa fomu no.19 inayomruhusu kupiga kura akiwa nje ya jiji la Dar es Salaam.
Endelea kufuatilia hapa kandiliyetu.com kwa updates zote muhimu za uchaguzi mkuu na matukio mbalimbali kama bado hauja-like page yetu ya facebook bonyeza hapa

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.