Bondia mwenye rekodi ya kutopigwa Floyd Mayweather bado anaendelea kufanya matanuzi ya mkwanja wake aliyovuna katika mchezo wa ngumi. Floyd Mayweather ambaye mwezi September alimpiga kwa point bondia Andre Berto pambano lililofanyika katika ukumbi wa MGM Grand Garden Arena Las Vegas Marekani.
Mayweather Jr alipigwa picha akiwa katika bwawa la kuogelea Miami sambamba na uwepo wa rafiki zake, huku akionekana kujiachia zaidi dalili ambazo zinaashiria kuwa hana pambano hivi karibuni kwani muda mwingi ameonekana akiwa anaenjoy na rafiki zake.
Note: Only a member of this blog may post a comment.